kiswahili mufuti Gredi 1

0
(0)
0 11221
USh 25,000
En stock
G202K23132C0
GMB

Longhorn Kiswahili Mufti, Gredi 1 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa mtindo wa mazoezi kwa kuzingatia mtaala mpya unaokusudiwa kujenga ujuzi wa mwanafunzi kupitia utendaji na uvumbuzi wa maarifa. Kitabu hiki kimetimiza kikamilifu mahitaji ya mada zote za silabasi mpya ya somo la Kiswahili kwa wanafunzi wa gredi ya kwanza.

Vivilile, kitabu hiki kimeandikwa kwa lugha rahisi ou ili kueleweka kwa urahisi na wanafunzi wa gredi ya kwanza kutoka katika mazingira mbalimbali. Msamiati uliotumika unaafikiana vyema na uwezo wa lugha ya wanafunzi katika kiwango hiki. Kimeshughulikia masuala ibuka kama vil : maadili, haki za watoto, usafi na afya, utangamano, maarifa ya ujasiriamali, elimu ya maendeleo endelevu, jinsia, teknolojia na mazingira.

Pia, michoro ya kuvutia imetumiwa ili kumsaidia mwanafunzi kufahamu yaliyomo kwa urahisi na kuweza kuyahusisha maarifa na mazingira yake.

Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utampa mwalimu maelezo na maelekezo kamili kuhusiana na mbinu mwafaka za kutayarisha, kuendesha na kutathmini uwezo wa utendaji wa wanafunzi na umahiri wao katika somo la Kiswahili.

Frais de port
Product Location New taxipark, Freeman building, Shop 674, Central Region, Uganda

Aucun avis trouvé!

Aucun commentaire trouvé pour ce produit. Soyez le premier à commenter!