KISWAHILI Kitabu cha wanafunzi kidato cha kwanza

0
(0)
0 227
USh 25,000
En stock
KK1
GMB

ELIMU KISWAHILI KITABU CHA KWANZA ni kitabu kipya cha kiwango cha Sekondari kulingana na mtaala mpya wa Uganda. Mtaala unajumuisha yaliyomo katika silabisi mpya ya sekondari ya Uganda.

Kiswahili kitabu cha wanafunzi cha kwanza kina maandishi rahisi, wazi na rahisi kusoma. Yaliyomo yanaungwa mkono na vielelezo wazi na ujumbe wazi. Kitabu kina shughuli nyingi na mazoezi kwa watu binafsi na kazi ya kikundi.

Kiwango cha lugha na mifano iliyotumika inafaa kwa wanafunzi wa vijijini na mijini. Masuala ya usawa wa kijinsia na watu wenye ulemavu yameshughlikiwa sana.

Rasilimali ya mwongozo wa walimu unapatikana kwa kila ngazi ya kozi. Kila kitabu cha mwongozo wa walimu hutoa /hupatia mwongozo wa kina na wa kitendo kwa msitizo wa mbinu zinazoshirikisha wanafunzi katika njia ya kufundisha Kiswahili iliyochangiwa katika shule za upili, Kozi Imeandikwa na walimu wenye uzoefu wa kiswahili na wenye ushauri wa kiufundi kutoka kwa wataalamu wa masomo. 

APPROVED BY MINISTRY OF EDUCATION

Author Jepkoech Rebecca na Joseph Tusingwire
ISBN 9789970411542
Frais de port
Heure de livraison 1 - 2 jours
Product Location Namirembe Road, New taxipark Unit 674, Central Region, Uganda

Aucun avis trouvé!

Aucun commentaire trouvé pour ce produit. Soyez le premier à commenter!