Mwanafunzi mpendwa, kitabu hiki kimeandikwa kukidhi matakwa ya mtaala mpya wa sekondari wa
kidato cha kwanza hadi cha nne uliofanyiwa marekebisho na Kituo cha Taifa cha Kuendeleza Mitalaa.
Mtalaa huu unalenga mwanafunzi kwa kumshirikisha katika shughuli za mafunzo mbalimbali.
Unalega kujenga na kukuza mwanafunzi atakayekuwa na milisi zinazohitajika katika katika ya 21.
Kitabu hiki kinalenga kidato cha kwanza na kina mada tisa. Mada hizi zimeandikwa zikilenga kukuza
Milisi za wanafunzi kutokana na matarajio lengwa ya kila mada. Shughuli za Mafunzo
zimependekezwa zenye lengo la kukuza stadi za kimaisha kama vile kutafakari, ubunifi, mawasiliano
Bora, utatuzi wa changamoto mbalimbali, ushirikiano, pamoja na matumizi ya TEHAMA. Maadili pia
yamekuzwa katika shughuli hizi. Mtalaa unakisi Maisha ya kawaida yanayopatikana katika mazingira
Du wanafunzi.
Veröffentlicht 2020
Dieses Material wurde als Prototyp für die Umsetzung der Überarbeitung entwickelt
Lehrplan für die Sekundarstufe I und als Unterstützung für andere Lehrbuchentwicklungsinteressen.
Nationales Zentrum für Lehrplanentwicklung
Keine Bewertungen gefunden!
Für dieses Produkt wurden keine Kommentare gefunden. Sei der erste der kommentiert!